Monday 12 August 2013

Kutokana na muonekano wake afukuzwa nchi...

 Kama ulikuwa hujui nami nakujuza na kukufahamisha..Anaitwa Omar Borkan Al Gala ambaye ni mwigizaji na pia mpiga picha huko dubai pamoja na wenzake wawili wamefukuzwa chini Saudi Arabia kutokana na kuwa na muonekano mzuri kupitiliza(handsome kupita kiasi)
Lengo la hatua hiyo imeelezwa ni kuepusha kuwaingiza katika tamaa wanawake ambao hushindwa kujizuia(kuwashobokea)dunia ina mambo jamani kama ulikuwa hufahamu sasa fahamu..sijui ukiwa na sura mbaya inakuaje saudi arabia?

No comments:

Post a Comment