Friday 9 August 2013

Tafakari kauli hii...

                    NUKUU KUTOKA KWA  MZEE WETU,RAIS WA ZAMANI
                           WA AFRIKA KUSINI NELSON MANDELA
              (Msinipime kwa mafanikio bali kwa makosa niliyofanya na kujirekebisha)

                -JE UNAFAHAMU NI ASILIMIA NGAPI WATU HAWANYWI CHAI ASUBUHI?
  
Kama ulikuwa hufahamu asilimia tisa ya watu duniani hawanywi chai kwa sababu mbalimbali kila asubuhi.


                                          -KUVUNJIKA KWA MIFUPA YA BINADAMU


 kama ulikuwa hufahamu asilimia 44 ya watu duniani wamevunjika mfupa mmoja mwilini mwao.

                                                    KUTANDIKA KITANDA
kama ulikuwa hufahamu asilimia 21 ya watu duniani huamka asubuhi pasipo kutandika vitanda vyao.

No comments:

Post a Comment