Thursday 15 August 2013

Unamfahamu kinyozi ghali zaidi duniani?

 Salon iliyowahi kunyoa mtu nywele kwa gharama kubwazaidi duniani ni ya Stuart Philips.Gharamahiyo ni dola 16,450..piga exchange rate ya sasa 1650 unapata ni shilingi ngapi.
 Gharama hiyo ilitozwa kwenye salon hilo oktoba 29 mwaka 2007,salon hiyo ipo katika eneo la Convert Garden london nchini uingereza.

                                                     CHOCOLATE KUBWA ZAIDI

Chocolate ndefu kuwahi kutengenezwa ilipimwa na kuonekana ina uzito wa kilo 3580 sawa za daidi ya tani 3 na nusu.Chocolate hiyo ilitengenezwa Oktoba 11 mwaka 2007 na Elah Dufour wa Alessandria italia

No comments:

Post a Comment